RAPPER AOMBWA ATENGENEZE WMBO WA TAIF WA MAREKANI

RAPPER AOMBWA ATENGENEZE WMBO WA TAIF WA MAREKANI

Baada ya mashabiki kumuomba rapa wa kundi la Migos Quavo kutengeneza wimbo wa mpya wa taifa la Marekani ,staa huyu amejibu na kutoa vigezo vyake.
Quavo amesema “Ningependa kutengeneza wimbo pya wa taifa ila nitapenda zaidi kama nitatengeneza wimbo wa taifa wa mwaka 2017 kwaajili ya kila mtu na usio na ubaguzi, kitu kinachowakilisha kila mtu”
Quavo anasema kwanza lazima akusanye wasanii waimbaji wazuri sana na apewe muda mzuri wa kuandika wimbo huu.
Wimbo wa taifa wa Marekani unaitwa ‘The Star-Spangled Banner’ una miaka 203 na uliandikwa na mshairi Francis Scott Key.

0 comments :

 
Copyright © 2015. STAR SMART BLOG TZ
Blogger Templates