POVU LA NAY WA MITEGO KWA MOND, ALI KIBA NA OMMY DIMPOZ

POVU LA NAY WA MITEGO KWA MOND, ALI KIBA NA OMMY DIMPOZ

Mambo yamemfika HAPAA Nay wa Mitego na kuamua kutoa POVU kali kuhusu Beef la Ommy Dimpoz, Ali Kiba Vs Diamond Platnumz.
Ikiwa ni stori kubwa kwenye bongo fleva Tanzania, Sio jambo jipya kwa mfuatiliaji wa muziki kusikia beef hili la Ali Kiba ba Diamond, ambalo leo limepelekea Ommy Dimpoz kuweka picha ya Mama yake Diamond kwenye IG na kuandika maneno makali.
Well Post hio imepondwa na wengi sababu beef hili haliwahusu wazazi wa wasanii hawa..Rapa Nay wa Mitego ambaye ni rafiki wa wasanii wote hawa kaandika ujumbe huu….”Gombaneni, Loganeni Mpaka Muuwane… Napenda Kusikia Challenge Kwenye Game, Ila Tusiwaingize Wazazi Wetu🙏🏿 Please. Tutukananeni Matusi Yote Wenyewe Kwa Wenyewe Ikibidi Piganeni Kabisaaaa Atakae Kufa Tutazika na Itakua Historia Kama Big na Pac. Ila Kuwaingiza Wazazi ni U #Maku 
Sipo Upande Wowote,Si #Kiba #MondWala #Ommy. Endeleeni na Vita yenu Kama Wanawake Mmechukuliana Mabwana. Ila Swala la Wazazi Mnavuka Mipaka #Makunyie.!

0 comments :

 
Copyright © 2015. STAR SMART BLOG TZ
Blogger Templates