Picha,Floyd Mayeweather ameshinda pambano dhidi ya Conor Mcgregor kwa TKO katika raundi ya 10

Picha,Floyd Mayeweather ameshinda pambano dhidi ya Conor Mcgregor kwa TKO katika raundi ya 10


Bondia Floyd Mayeweather ameshinda pambano dhidi ya Conor Mcgregor kwa TKO katika raundi ya 10.
Pambano hili lilikuwa miongoni mwa mapambano makubwa ya ngumi kufanyika duniani sababu ya ukubwa wa wapiganaji hawa, Conor akiwa ni champion wa MMA na Floyd akiwa ni rekodi ya kutopigwa katka mapambano 50 kwenye maisha yake ngumi
Mpaka Round ya 5 McGregor alionekana kuwa kwenye hali nzuri ila baada ya hapo alionekana kuchoka na kukata tamaa kabisa ba kukubali ngumi kutua usoni kwake kila mara.
Baada ya refa kusimamisha pambano Conor alilalamika kuwa bado alikuwa na nguvu ya kuendelea, kwenye mahojiano mwisho wa pambano alisema “Nimepigwa sababu ya uchovu, nilichoshwa sana na mazoezi, ila refa alitakiwa kuacha pambano liendele”.

STARSMART TV: REHMA NURSERY & PRIMARY SCHOOL.

STARSMART TV: REHMA NURSERY & PRIMARY SCHOOL.

ALICHOANDIKA DIVAH WA CLOUDS FM KUHUSU SEDUCE ME YA ALI KIBA

ALICHOANDIKA DIVAH WA CLOUDS FM KUHUSU SEDUCE ME YA ALI KIBA

Mtangazaji maarufu wa Radio Diva Loveness Love [Clouds Fm] ametmia twitter kuandika ujumbe mfupi kuhusu rekodi mpya ya Ali Kiba #SeduceMe iliyotayarishwa na Producer Man Water.
Diva anasema >>Seduce me ya Alikiba ni Kama Pedi za Kike lazima Uvae , Mziki umeenda shule Huu #seduceme like what da hell
POVU LA NAY WA MITEGO KWA MOND, ALI KIBA NA OMMY DIMPOZ

POVU LA NAY WA MITEGO KWA MOND, ALI KIBA NA OMMY DIMPOZ

Mambo yamemfika HAPAA Nay wa Mitego na kuamua kutoa POVU kali kuhusu Beef la Ommy Dimpoz, Ali Kiba Vs Diamond Platnumz.
Ikiwa ni stori kubwa kwenye bongo fleva Tanzania, Sio jambo jipya kwa mfuatiliaji wa muziki kusikia beef hili la Ali Kiba ba Diamond, ambalo leo limepelekea Ommy Dimpoz kuweka picha ya Mama yake Diamond kwenye IG na kuandika maneno makali.
Well Post hio imepondwa na wengi sababu beef hili haliwahusu wazazi wa wasanii hawa..Rapa Nay wa Mitego ambaye ni rafiki wa wasanii wote hawa kaandika ujumbe huu….”Gombaneni, Loganeni Mpaka Muuwane… Napenda Kusikia Challenge Kwenye Game, Ila Tusiwaingize Wazazi Wetu🙏🏿 Please. Tutukananeni Matusi Yote Wenyewe Kwa Wenyewe Ikibidi Piganeni Kabisaaaa Atakae Kufa Tutazika na Itakua Historia Kama Big na Pac. Ila Kuwaingiza Wazazi ni U #Maku 
Sipo Upande Wowote,Si #Kiba #MondWala #Ommy. Endeleeni na Vita yenu Kama Wanawake Mmechukuliana Mabwana. Ila Swala la Wazazi Mnavuka Mipaka #Makunyie.!
RAPPER AOMBWA ATENGENEZE WMBO WA TAIF WA MAREKANI

RAPPER AOMBWA ATENGENEZE WMBO WA TAIF WA MAREKANI

Baada ya mashabiki kumuomba rapa wa kundi la Migos Quavo kutengeneza wimbo wa mpya wa taifa la Marekani ,staa huyu amejibu na kutoa vigezo vyake.
Quavo amesema “Ningependa kutengeneza wimbo pya wa taifa ila nitapenda zaidi kama nitatengeneza wimbo wa taifa wa mwaka 2017 kwaajili ya kila mtu na usio na ubaguzi, kitu kinachowakilisha kila mtu”
Quavo anasema kwanza lazima akusanye wasanii waimbaji wazuri sana na apewe muda mzuri wa kuandika wimbo huu.
Wimbo wa taifa wa Marekani unaitwa ‘The Star-Spangled Banner’ una miaka 203 na uliandikwa na mshairi Francis Scott Key.
DADA WA DIAMOND AINGILIA KATI BIFU LA DIAMOND NA OMMY DIMPOZ

DADA WA DIAMOND AINGILIA KATI BIFU LA DIAMOND NA OMMY DIMPOZ

Baada ya Ommy Dimpoz Kumtolea Povu Diamond Platnumz kwa kupost picha akiwa na Mama yake na Kujiita Baba yake Diamond, Dada wa Diamond amekerwa na jambo hili na kuamua Kuingilia Kati bifu hilo.
Esma Platnumz ameandika ujumbe huu kwenye picha aliyoweka Ommy Dimpoz….
MWANA FA: BIFU LA DIAMOND NA OMMY DIMPOZ LINACHANGAMSHA

MWANA FA: BIFU LA DIAMOND NA OMMY DIMPOZ LINACHANGAMSHA

Msanii wa muziki wa hip hop, Khamisi Mwinjuma, maarufu mwana FA amedai bifu kati ya Diamond na Ommy Dimpoz ni vitu ambavyo vinahitaji kwenye muziki kwa kuwa vinachangamsha game.
diamond



















Diamond na Ommy Dimpoz hivi karibuni waliingia kwenye bifu zito hali ambayo ilipelekea wawili hao kumtupiana maneno ya kashfa katika mitandao ya kijamii.
Akiongea na gazeti la Habari Leo wiki hii, Mwana FA alisema bifu la wasanii hao linachangamsha tasnia ya muziki na kusisitiza muhimu ni kudhibiti wasizuriane.
“Unajua hakuna kitu kisichokuwa na ushindani, mfano wewe upo STAR SMART lazima mtakuwa na washindani wenu, mnachotakiwa kufanya ninyi waandishi ni kujizuia msizuriane,” alisema FA.
“Inachangamsha muziki unapata wa kuwazungumzia, kukiwa na ushindani wa hapa na pale sifikiri kama ni kitu unachoweza kukizuia, game ikiwa rafiki sana nayo inakuwa haiwezi kuburudisha, haiwezekani mashabiki wawe wote wa wanamuziki wote hakuna kitu kama hicho,” aliongeza.
Pia rapa huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo ‘Dume Suruali’ amedai kwa sasa bado ana mambo mengi ya kufanya katika kuendeleza muziki wake lakini pia kuendeleza familia yake pamoja na masuala ya biashara.
 
Copyright © 2015. STAR SMART BLOG TZ
Blogger Templates